Simplfy language

thanx

Wednesday, November 19, 2014

Familia ya Bob Marley kuuza bidhaa za Bangi

Familia ya Bob Marley
Familia ya aliyekuwa mwanamuziki wa Jamaica, Bob Marley imezindua kampuni ambayo wanaitaja kama ya kwanza duniani kuuza bidhaa za Canbbisa au marujuana au Bangi kama wanavyoijua wengi.

Bidhaa hizo zitakuwa za urembo kama vile mafuta na manukato

No comments:

Post a Comment