Simplfy language

thanx

Wednesday, June 11, 2014

MSANII RIYAMA ASIE NA KASHFA NAE AONGELEA KUHUSU KIFO CHAKE

RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza na mengineyo basi atumie nafasi hiyo akiwa hai, haitaji kusifiwa akifariki kwani anaamini kuwa sifa hizo hatazisikia.
Riyama

No comments:

Post a Comment