Simplfy language

thanx

Wednesday, June 11, 2014

mazito yagundulika kwa binti aliyeteswa na mwajiri wake...hatari

BEKI3
NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyiwa ukatili wa kutisha na bosi wake kisha habari zake kuandikwa, ametoa siri nzito, Uwazi limemegewa.

Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili akiwa wodini kwenye Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Kinondoni, Mwananyamala jijini Dar, Yusta ambaye amefanya kazi kwa tajiri yake huyo kwa miaka mitatu alisema:
“Kwanza nataka watu wajue kuwa mwajiri wangu ni binamu yangu, alinileta hapa Dar kwa ajili  ya kumsaidia kazi za ndani pamoja na kumlelea mwanaye.
“Kipigo hasa kilianza mwanzoni mwa mwaka huu ikiwa ni pamoja na kuning’ata kwa meno mwili mzima, ndiyo maana mwili wangu wote unaonekana una mabakamabaka.
“Mateso yangu majirani walikuwa wakiyajua kutokana na kilio changu lakini walikuwa wanashindwa kunisaidia kwa sababu ya ushirikiano mdogo.

KUHUSU MAISHA YA TAJIRI WAKE

MWENENDO WA KWANZA

MWENENDO WA PILI

MWENENDO WA TATU

MWENENDO WA NNE

MWENENDO WA TANO

OMBI KWA SERIKALI

SHUKURANI KWA MAJIRANI

MANENO YA MUUGUZI

.

TUJIKUMBUSHE

No comments:

Post a Comment