Simplfy language

thanx

Saturday, June 7, 2014

JAJI WARIOBA AWATAKA WAZEE WAACHIE NGAZI...NA MADARAKA.....


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri viongozi wazee na waliokaa madarakani muda mrefu kuacha kung’ang’ania madaraka.

Januari 14, 2010, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, aliwashauri wazee watumie busara kupima uamuzi wa kugombea tena nafasi za ubunge kwenye uchaguzi mkuu. Pinda alitoa rai hiyo alipokuwa akijibu maswali ya wahariri katika mkutano alioitisha kujibu maswali yao jijini Dar es Salaam.
Warioba alisema mtazamo wake ni vyema kuwa na ukomo wa mtu kuwa mbunge, ambapo alipendekeza vipindi vitatu vya miaka mitano mitano yaani miaka 15

No comments:

Post a Comment