Moto mkubwa ulilipuka katikati ya bahari ambapo meli hiyo yenye uzito wa tani 998 iliyokuwa ikitokea mji wa Hiroshima kuachwa ikielea ndani ya maji baada ya ajali hiyo na baadae kufatwa na meli za kupambana na majanga ya moto.
Watu saba wameokolewa katika ajali hiyo mbaya, wanne wakiuguza majeraha ya moto kwa mujibu wa shirika la habari la NHK, ambapo kapteni wa meli hiyo amesema uchunguzi kumtafuta mtu mmoja aliyepotea bado unaendelea.
 Afisa
 usalama katika Pwani hiyo Koji Takarada amesema chanzo cha mlipuko huo 
bado hakijajulikana ambapo shirika la habari NHK limeripoti kuwa 
wafanyakazi wa meli hiyo walikuwa wakifanya kazi chini ya meli wakati 
mlipuko unatoke
Afisa
 usalama katika Pwani hiyo Koji Takarada amesema chanzo cha mlipuko huo 
bado hakijajulikana ambapo shirika la habari NHK limeripoti kuwa 
wafanyakazi wa meli hiyo walikuwa wakifanya kazi chini ya meli wakati 
mlipuko unatoke
 


 
 
No comments:
Post a Comment