Mwaka 2002 eneo linalojumuisha visiwa hivyo lilitangazwa na UNESCO kuwa ni hifadhi ya kimataifa.
Aghlabu ya visiwa hivyo havikaliwi na watu na mara nyingi utapata nyumba moja katika kila kisiwa na wakazi wake wanatumia boti kwenda na kurudi bara.
Nyumba za visiwa hivyo zinatumia umeme wa maji na huduma za simu zinatumia nyaya zilizowekwa chini ya maji kutoka kisiwa kimoja hadi kingine.
Ametukuka Allah, Mbora wa kuumba.
Hapa chini tumeorodhesha baadhi ya picha za visiwa hivyo.
No comments:
Post a Comment