Vijana wasiopungua 45,000 watakaomaliza kidato cha sita watajiunga
na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria na watakaokwepa
mafunzo hayo ya miezi mitatu, watashtakiwa.
“Katika kambi za JKT kuna tatizo la vifaa vya afya, hivyo wizara
iliangalie hilo ili wanaokwenda katika mafunzo hayo wapate tiba sahihi
na kwa wakati.”
No comments:
Post a Comment