Simplfy language

thanx

Wednesday, May 14, 2014

WATAKAMALIZA KIDATO CHA 6 KUJIUNGA NA JESHI WATAKAOKACHA KUIONA MAHAKAMA LIVE...

JWTZ
Vijana wasiopungua 45,000 watakaomaliza kidato cha sita watajiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria na watakaokwepa mafunzo hayo ya miezi mitatu, watashtakiwa.

“Katika kambi za JKT kuna tatizo la vifaa vya afya, hivyo wizara iliangalie hilo ili wanaokwenda katika mafunzo hayo wapate tiba sahihi na kwa wakati.”

No comments:

Post a Comment