Simplfy language

thanx

Wednesday, May 28, 2014

JE WAJUA ? SHEIKH PONDA AMEGOMA KWENDA MAHAKAMANI? SOMA SABABU ZA MGOMO WAKE....

sheikh ponda
Kiongozi wa Taasisi ya Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, jana aligoma kufikishwa mahakamani kutoka mahabusu ya Gereza la Mkoa wa Morogoro, akidai kuchoshwa kuhairishwa kwa kesi yake kila anapofikishwa mahakamani.
Upande wa Jamhuri unaowakilishwa na Wakili Sunday Hyera uliiomba mahakama hiyo kuahirisha kesi na kupanga tarehe nyingine ya kutajwa wakati jalada halisi la kesi hiyo lililoitishwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, likiendelea kusubiriwa kuletwa kortini.

No comments:

Post a Comment