Mamauzauza! Chungu cha Ajabu chenye damu,maini na kichwa cha ndege chaibuka kwenye Kaburi la mtoto huko IRINGA..!!
Chungu cha ajabu kilichokutwa juu ya kaburi katika makaburi ya Makanyagio mjini Iringa leo kikiwa kinafoka damu
Wananchi wakishuhudia chungu hicho cha ajabu kushoto karibu na jembe |
Hapa ndipo chungu hicho kilipoibukia |
Baba wa mtoto Agnes Mlawa akichimbua chungu hicho |
baba wa mtoto huyo kulia akisaidiwa na msamalia mwema kufungua chungu hicho ili kuona ndani |
Hivi ndivyo vilivyokuwemo ndani na damu ,maini na kichwa cha ndege |
Hapa msamaria mwema akionyesha vitu vilivyopo ndani |
Mzee Mlawa akiwasha kiberiti kwa ajili ya kuteketeza ushirikiana huo |
Tunguli ikiteketezwa kwa moto |
Wananchi na mzee Mlawa kulia wakitazama tunguli hilo likiteketea kwa moto |
Mwisho wa ushirikina hapa |
Mzazi wa Marehemu Afunguka |
No comments:
Post a Comment