“Nilikuwa nikipokea vipigo vikali wakati mwingine bila sababu za msingi lakini nilikuwa nikivumilia.“ Kisa cha kukatwa mkono ni kukataa kwenda nyumbani kwa mama yangu kuchukua chakula cha kula pale nyumbani, kitu ambacho ni kinyume na utaratibu wetu wa maisha,” alisema Leah.Mwanamke huyo alisema kwamba mumewe alimlazimisha kwenda kuchukua chakula hicho lakini alipokataa alipigwa na kulazimika kuondoka mpaka nyumbani kwa wazazi wake kukwepa kipigo zaidi.
No comments:
Post a Comment