CHEKI WAFUNGAJI WA MECHI YA LEO KATI YA SIMBA NA WATANI WAO YANGA.....
KIVUMBI NA JASHO
Mpira ni mapumziko Yanga wanaongoza magoli 3 Simba 0. Wafungaji niMrisho Ngassa na Hamis Kizza aliyefunga magoli mawili,huku goli la mwisho likifungwa dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza
No comments:
Post a Comment