Simplfy language

thanx

Tuesday, September 10, 2013

wa miaka 8 afariki kutokana na majeraha ya ngono

Mtoto wa miaka 8 afariki kutokana na majeraha ya ngono usiku wa harusi yake akiwa na mume wake alie na mara tano ya umri wake




"Kutokana na Umoja wa Mataifa ya Idadi ya Watu (UNFPA), kati ya 2011 na 2020, zaidi ya wasichana  milioni 140 watakuwa wanaharusi watoto,  Aidha katika wasichana hao milioni 140 ambao wataolewa kabla ya umri wa miaka 18, milioni 50 watakuwa chini ya umri ya 15. "Na imeripotowa kwamba zaidi ya robo ya wasichana Yemen wanaolewa kabla ya kufikia umri wa miaka 15, na hali hii, si tu hufanya wao kukosa afya na elimu, bibi harusi hao watoto wanakabiliwa na vurugu ya kimwili, kihisia na kijinsia katika ndoa zao za kulazimishwa.Mwaka 200 sheria Yemen iliunda sheria iliyopitisha umri wa miaka 17 kuwa ndio umri wa msichana kuolewa, lakini bahati mbaya idadi kubwa ya wabunge wa kihafidhina kudai kuwa ni kinume na uislam.

No comments:

Post a Comment