Simplfy language

thanx

Thursday, December 18, 2014

AJABU....: WABUNGE WARARUANA BUNGENI KISA MSWADA....


Seneta Johnston Muthama alijipata pabaya kwnai long;i yake iliraruliwa katika mvutano bungeni humo
Seneta Muthama pia alijeruhiwa vibaya mguuni

Wabunge wa Kenya wametofautiana vikali bunge na kuvuana mashati huku wakirushiana ngumi kufuatia mjadala kuhusu mswaada tatanishi wa usalama ambao wabunge wa upinzani wanasema unakiuka uhuru wa wakenya.

No comments:

Post a Comment