KUNDI LA KIGAIDI LA AL-QAEDA LIMETANGAZA LIMEFUNGUA TAWI JIPYA INDIA,...
Kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Ayman al-Zawahiri amesema kuwa wamefungua tawi jipya la mtandao huo wa kigaidi nchini India ikiwa ni jitihada za kuhakikisha wanapandisha bendera za Jihad kusini mwa bara la Asia.
No comments:
Post a Comment