Ilidaiwa
kuwa marafiki hao walikwenda moja kwa moja nyumbani kwa dereva huyo wa
bodaboda ambako walimkuta akiwa amelewa na walipoingia ndani walimkuta
shemeji yao akiwa ameshafariki dunia.
Kamanda
wa Polisi Mkoa Kilimanjaro, Robert Boaz hakupatikana jana kuzungumzia
tukio hilo kwa kuwa alikuwa kwenye ziara ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
huko Gonja wilayani Same.
No comments:
Post a Comment