
Pata picha ni wee na uko katika usingizi mzito usiku wa manane ,bwana mdogo kama huyu anakuibukia
chumbani kwako live ukiwa unamkodolea macho anaanza kufanya kile kilichomleta kama unavyoshuhudia kwa picha hiyo hapo......kitendo hicho kinaendelea kwa takribani dakika 30 halafu ndipo unapovuta pumzi ndeeefu ya uchovu.....kisha unakaa kitandani kama mtu asiyeamini kilichotokea kisha unajiuliza swali kuuubwa moja tu......".LOH KUMBE NAOTA'"
 
 
 
No comments:
Post a Comment