NGASSA: “Diamond ni rafiki yangu, lakini mpira huu nitampelekea
Wema kwa kuwa ni shemeji yangu na tunaheshimiana sana,” alisema Ngassa
na kuongeza: Mrisho Ngassa wa Yanga, jana alifanikiwa kufunga mabao
matatu ‘hat trick’ katika mechi dhidi ya JKT Ruvu, lakini ametoa kali
kwa kusema kuwa mpira aliokabidhiwa kwa kufunga mabao hayo, anaupeleka
kwa shemeji yake, Wema Sepetu. Akizungumza baada
Pages
Simplfy language
thanx
Wednesday, April 9, 2014
NGASSA AONYESHA UPENDO KWA WEMA SEPETU...
Labels:photos
BURUDANI(Entertainment)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment