mdogo wa ubunge Jimbo la Chalinze, ambao umehitimishwa Aprili 6, mwaka huu, kwa wapiga kura wa jimbo hili kupiga kura;
Ukiukwaji huo ni kama ifuatavyo;
Kinyume kabisa na Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, kifungu cha 15(5), kinachosema;
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imekiuka kifungu hiki cha sheria kwa kufanya kile wanachoita
wao ni ‘uhakiki wa mwaka 2014’ wa daftari ambao wanadai lengo lake
lilikuwa ni kupunguza idadi ya wapiga kura waliokufa au kuhama au
kuandikishwa mara mbili, lakini badala ya wapiga kura kupungua, uhakiki
huo uliofanywa na tume bila kushirikisha wala kuwataarifu wananchi wa
Jimbo la Chalinze, umeongeza idadi ya wapiga kura wapya katika jimbo
hili kwenye uchaguzi huu mdogo.
No comments:
Post a Comment