Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinaynga kimepata pigo kubwa baada ya madiwani wake wawili katika manispaa ya Shinyanga kutangaza kujiuzulu nyadhifa zao kutokana na madai kuwa viongozi ngazi ya taifa wa chama hicho kundekeza majungu,migogoro ,kudhalilisha baadhi ya viongozi pamoja na kuwapa majina ya wasaliti wa chama.
No comments:
Post a Comment