Mbinu hiyo yenye utata imekosolewa na watu wengi huku yeye akisema kuwa binadamu wanaweza kula chochote na wasidhurike. “Ndio tunakula majani na tunajivunia sababu inaonesha kuwa kwa nguvu ya Mungu, tunaweza kufanya lolote,” Rosemary Phetha aliliambia gazeti la Afrika Kusini la Times Live.
No comments:
Post a Comment