Simplfy language

thanx

Saturday, July 6, 2013

OHHH MANDELA..........

Lakini Mandla Mandela, ambaye kulingana na vyombo vya habari, alihamisha maiti hao umbali wa kilomita 22 kutoka mji wa wa Qunu hadi nyumbani kwake eneo la Mvezo mnamo mwaka 2011, anapinga uamuzi huo.

Katika mgogoro mwingine, wanawe wa kike na wakubwa wa Mandela, Makaziwe na Zenani wameenda mahakamani wakitaka kuwanondoa wasaidizi watatu wa Mandela kutoka katika kampuni za baba yao.

No comments:

Post a Comment