Simplfy language

thanx

Saturday, June 11, 2016

Bandari ya Libya yakombolewa kutoka kwa IS


Image captionSirte
Vikosi vya Libya vinavyoegemea serikali ya muungano mjini Tripoli vinasema kuwa vimeichukua bandari ya mji wa sirte, kufuatia makabiliano makali baina yao na wapiganaji wa Islamic state.
Image copyrightREUTERS
Image captionWanajeshi wanaounga mkono serikal ya Umoja wa Matifa nchini Libya waingia Sirte

Mbatia asema jambo kuhusu Naibu Spika Dr. Tulia Akson


HILI NI TAMKO LA AL-SHABAB


Image copyrightAP
Image captionwapiganajia wa kundi la Kigaidi la al-Shabab
Kundi la wanamgambo nchini Somalia, al-Shabab, wanasema wamewaua watu watatu kwa kuwapiga risasi na kumchinja shingo mwingine, baada ya kupatikana na hatia ya kuwa majasusi wa mashirika ya ujasusi ya Kenya na Marekani.
Image copyright
Image captionAhmed Godan



MAOMBOLEZO YA MSIBA WA BONDIA ALI YASHIKA KASI...




Image copyrightBill Clinton
Ibada ya ukumbusho iliojawa na mihemko ya aina yake kwa bondia Mohammed Ali imefanyika katika mji alikozaliwa wa Louisville, Kentucky.
Image copyrightGETTY
Image captionBaadhi ya mabondia na muigizaji Will Smith waliohudhuria hafla hiyo.
Image copyrightAP
Image captionUmati wa watu waliohudhuria hafla ya kumbukumbu hiyo
Image copyrightREUTERS
Image captionMkewe Muhammad Ali
Image copyrightREUTERS
Image captionMsafara wa mwili wa Muhammad Ali kabla ya kuzikwa nyumbani Louisvile Kentucky siku ya Ijumaa