walikuwa wanakusudia kuudhibiti mji wa Konduga, ulio kilometa 35 kutoka jimbo la Maiduguri ambapo hata hivyo juhudi hizo ziliishia patupu baada ya kukabiliana na mashambulizi makali ya jeshi la nchi hiyo suala lililowafanya wapiganaji wa Boko Haram kukimbia. Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la Nigeria, wanachama wa kundi hilo waliamua kukimbia baada ya masaa matatu ya mapigano.
Mji wa Konduga ulishambuliwa mapema mwaka huu na wanachama wa kundi hilo, na kusababisha mauaji ya zaidi ya watu 5o sambamba na kuteketezwa kwa moto makumi ya nyumba za mji huo.
No comments:
Post a Comment