“Sasa baada ya kufika pale mbuyuni na kutaka kuuchukuwa mfuko wa Rambo ndio akaona kile kitoto na ndipo alipotuita na sisi na kushuhudia tukio hili. Kiukweli ni tukio baya sana na linalopaswa kupingwa na kila mmoja wetu, huu ni ukatili mbaya sana,” alisema .
No comments:
Post a Comment